TOFAUTI KATI YA UZIMA WA MILELE NA UZIMA WA ULIMWENGU

 Image result for uzima wa milele
Wakristo wametakiwa kufahamu kuwa ipo tofauti kati ya uzima wa milele na uzima wa ulimwengu  kwani watu wengi hufikiri maisha waliyonayo hayana mwisho na ndiyo mitazamo ya watu wengi.

Akihubiri kwenye ibada ya jumapili katika kanisa la KKKT Dayosisi ya Meru Jimbo la Magharibi Usharika wa Patandi Mch.Gwarisa Mwaipopo kutoka katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani amewataka wakristo kutambua kuwa wapo katika ulimwengu usio dumu.

Hata hivyo amehitimisha kwa kuwataka wakristo kufahamu kuwa palipo na uzima kuna baraka na neema na palipo na mauti kuna laana na mabaya.

No comments:

Post a Comment