Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Habari Maalum fm 97.7 Kupitia kipindi cha Praise Time Joff Mulenga amekuwa Repoter wa Kipindi cha Chomoza  kinacho Peperushwa Clouds Tv kila asubuhi siku ya jumapili.


Kwa Mujibu wa Post ambayo ameipost tarehe 23.11.2018 kupitia ukurasa wake wa Instagram majira ya asubuhi  na Kuwa Commented na Muongozaji  mkuu wa Kipindi hicho cha Chomoza anayetambulika kwa jina la Jimmy  imedhihirisha kuwa atakuwa Repoter  wa kipindi hicho kutoka ukanda huu wa kaskazini.


 Taarifa zinasema kuwa hii itasaidia sana  kuweza kutambulisha muziki wa Injili  kutoka kanda ya kasikazini na pia ni Fursa kwa waimbaji na waandaaji wa events mbalimbali za Gospel kutangaza  kupitia Chomoza ya Clouds TV.

  Usiache kumfollow kwenye ukurasa wake wa  Instagram  @joff_mulenga kwa Taarifa zaidi na Booking

 

JOFF MULENGA AWA REPOTER WA CHOMOZA YA CLOUDS TV


 
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Habari Maalum fm 97.7 Kupitia kipindi cha Praise Time Joff Mulenga amekuwa Repoter wa Kipindi cha Chomoza  kinacho Peperushwa Clouds Tv kila asubuhi siku ya jumapili.


Kwa Mujibu wa Post ambayo ameipost tarehe 23.11.2018 kupitia ukurasa wake wa Instagram majira ya asubuhi  na Kuwa Commented na Muongozaji  mkuu wa Kipindi hicho cha Chomoza anayetambulika kwa jina la Jimmy  imedhihirisha kuwa atakuwa Repoter  wa kipindi hicho kutoka ukanda huu wa kaskazini.


 Taarifa zinasema kuwa hii itasaidia sana  kuweza kutambulisha muziki wa Injili  kutoka kanda ya kasikazini na pia ni Fursa kwa waimbaji na waandaaji wa events mbalimbali za Gospel kutangaza  kupitia Chomoza ya Clouds TV.

  Usiache kumfollow kwenye ukurasa wake wa  Instagram  @joff_mulenga kwa Taarifa zaidi na Booking

 

No comments:

Post a Comment