ROSE MUHANDO APOKEA TUZO 2020 BAADA YA UKIMYA MIAKA 5



 
Mwimbaji wa Nyimbo za Inili nchini Tanzania anaye fanya Vema Kunako Uga wa Muziki wa Injili Barani Afrika Rose Muhando amepokea  tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike  Afrika Mashariki tuzo zinazo tolewa na Edge Festival nchi Burundi.

 

Baada ya Kupokea Tuzo hiyo Rose Muhando amesema amepitia Mambo Magumu sana licha ya watu kuona picha a mitandaoni ila kuna mengi amepitia kipindi cha hivi karibuni.

 

“Nimepitia Mambo magumu sanalicha ya watu kuona picha mitandaoni  ila kuna mengi nimepitia  katika kipindi cha hivi karibuni “ Alisema Rose Muhando.

 

Rose Muhando Anapokea Tuzo hiyo baada ya Ukimya wa Miaka Mitano  bila Kutoa Wimbo huku kukiwa na Video  na Picha zinamuonyesha  akipitia Changamoto Tofauti tofauti.

 

Itakumbukwa kuwa Rose Mundao amekuwa muimbaji wa Nyimbo za Injili Zaidi ya Mika Kumi na Tano sasa na Bado anaendelea Kufanya vizuri licha ya kupitia Changamoto Mbalimbali katika Tasnia Muziki wa Injili nchini Tanzania na Duniani Kwa Ujumla.

 

No comments:

Post a Comment