Waumini Wa Dini Ya Kikristo Duniani Wametakiwa Kuwa Na Akili Za Moyoni Badala Ya Kuwa Na Akili Za Kibinadamu Pekee Ili Kuwa Na Uwezo Wa Kutumia Ufahamu Wa Kimungu Katika Maisha Yao Ya Kila Siku. 

 

Hayo Yamesemwa Na Mchungaji Kiongozi Wa Kanisa La Pentecoste Jerusalem Mpya Mchungaji Liberty Shirima  Lililopo Kijenge Mwanamana  Mkoani Arusha Wakati Wa Ibada Ya Jumapili.

 

Mchungaji Shirima Amesema Kuna Tofauti Ya Kiutendaji Kati Ya Akili Ya Kibinadamu Na Akili Ya Moyoni Kwani Akili Ya Kibinadamu Inafahamu Zaidi Mambo Ya Mwilini Na Akili Ya Moyoni Inafahamu Zaidi Mambo Ya Rohoni.

 

Aidha Amebainisha Kuwa Akili Ya Kichwani Inafahamu Zaidi Mambo Ya Duniani Tofauti Na Akili Ya Moyoni Inafahamu Zaidi  Mambo Ya Ulimwengu Wa Roho.

 

Amesema Kuwa Kila Mwanadamu Ameumbiwa Akili Za Moyoni Lakini Baadhi Ya Wakristo Wameshindwa Kuzitumia Kwa Sababu Ya Kukosa Maarifa Ya Jinsi Ya Kuzitumia Ikiwemo Kusoma Neno Na Kumtafuta Mungu Katika Maombi.

 

“Ayubu Alipitia Jaribu Gumu Sana Hadi Mke Wa  Ayubu  Alimtaka Amkufuru Mungu Akafe Lakini  Kilicho Msaidia Ayubu Ni Akili Ya Moyoni” Mchungaji Shirima.

 

Saul Petro Ni Mshirika Katika Kanisa La Pentecoste Jerusalem Mpya Anasema Mtu Akiwa Na Akili Ya Moyoni Mungu Anakuwa Karibu Zaidi Na Mtu Huyu Tofati Na Mtu Anaye Tumia Akili Ya Kibinadamu Peke Yake.

 

Kanisa La Pentecoste Jerusalm Mpya Lina Zaidi Ya Washirika 800 Linapatikana  Kijenge Mwanama Kusini Mwa Mkoa Wa Arusha Likiwa Na Matawi Mbalimbali Nchini Tanzania

 

CHANZO CHA HABARI

Mchhungaji : Liberty Shirima

Contact : +25575364561

Kanisa : Pentecoste Jerusalem Mpya

TOFAUTI KATI YA AKILI YA MOYONI NA AKILI YA KICHWANI : MCH SHIRIMA

 

 




Waumini Wa Dini Ya Kikristo Duniani Wametakiwa Kuwa Na Akili Za Moyoni Badala Ya Kuwa Na Akili Za Kibinadamu Pekee Ili Kuwa Na Uwezo Wa Kutumia Ufahamu Wa Kimungu Katika Maisha Yao Ya Kila Siku. 

 

Hayo Yamesemwa Na Mchungaji Kiongozi Wa Kanisa La Pentecoste Jerusalem Mpya Mchungaji Liberty Shirima  Lililopo Kijenge Mwanamana  Mkoani Arusha Wakati Wa Ibada Ya Jumapili.

 

Mchungaji Shirima Amesema Kuna Tofauti Ya Kiutendaji Kati Ya Akili Ya Kibinadamu Na Akili Ya Moyoni Kwani Akili Ya Kibinadamu Inafahamu Zaidi Mambo Ya Mwilini Na Akili Ya Moyoni Inafahamu Zaidi Mambo Ya Rohoni.

 

Aidha Amebainisha Kuwa Akili Ya Kichwani Inafahamu Zaidi Mambo Ya Duniani Tofauti Na Akili Ya Moyoni Inafahamu Zaidi  Mambo Ya Ulimwengu Wa Roho.

 

Amesema Kuwa Kila Mwanadamu Ameumbiwa Akili Za Moyoni Lakini Baadhi Ya Wakristo Wameshindwa Kuzitumia Kwa Sababu Ya Kukosa Maarifa Ya Jinsi Ya Kuzitumia Ikiwemo Kusoma Neno Na Kumtafuta Mungu Katika Maombi.

 

“Ayubu Alipitia Jaribu Gumu Sana Hadi Mke Wa  Ayubu  Alimtaka Amkufuru Mungu Akafe Lakini  Kilicho Msaidia Ayubu Ni Akili Ya Moyoni” Mchungaji Shirima.

 

Saul Petro Ni Mshirika Katika Kanisa La Pentecoste Jerusalem Mpya Anasema Mtu Akiwa Na Akili Ya Moyoni Mungu Anakuwa Karibu Zaidi Na Mtu Huyu Tofati Na Mtu Anaye Tumia Akili Ya Kibinadamu Peke Yake.

 

Kanisa La Pentecoste Jerusalm Mpya Lina Zaidi Ya Washirika 800 Linapatikana  Kijenge Mwanama Kusini Mwa Mkoa Wa Arusha Likiwa Na Matawi Mbalimbali Nchini Tanzania

 

CHANZO CHA HABARI

Mchhungaji : Liberty Shirima

Contact : +25575364561

Kanisa : Pentecoste Jerusalem Mpya

No comments:

Post a Comment