Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku moja ya kikazi Novemba 18, mwaka huu kwa lengo la kuhudhuria maazimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya Bugando.
 
Akizungumza na Global Publishers, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Robert Gabriel amesema “Mhe. Rais Samia atakua na ziara ya kikazi mkoani Mwanza ambapo atakuja kwenye maadhimisho ya Miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa ya Bugando”.

RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA MWANZA NOV 18, 2027 :

 





 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku moja ya kikazi Novemba 18, mwaka huu kwa lengo la kuhudhuria maazimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya Bugando.
 
Akizungumza na Global Publishers, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Robert Gabriel amesema “Mhe. Rais Samia atakua na ziara ya kikazi mkoani Mwanza ambapo atakuja kwenye maadhimisho ya Miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa ya Bugando”.

No comments:

Post a Comment