Leo tar 20 julai Askofu Mkuu Mch Stevie Mulenga ametembelea zahanati ya Bulangamilwa inayomilikiwa na FPCT iliyopo Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora. 
 
Askofu Mkuu ametembelea zahanati hiyo kwa lengo la kuona changamoto zilizopo katika zahanati hiyo na namna ya uendeshaji wa zahanati hiyo. 
 
Akiwa hapo Askofu Mkuu amejionea utendaji wa zahanati hiyo na jinsi inavyo hudumia jamii hiyo katika kijiji cha Bulangamilwa.
 
Askofu Mkuu Mch Stevie Mulenga  na Mama Askofu Katikati akiwa na Moja ya Wauguzi wa Zahanati ya Bulangamilwa kutoka Kulia.


 
 Askofu Mkuu Mch Stevie Mulenga  katika Picha baada ya kufanya Ziara  katika  Zahanati ya Bulangamilwa Mkoani Tabora .
 

ASKOFU MKUU ZIARANI ZAHANATI YA FPCT BULANGAMILWA :

 




 
Leo tar 20 julai Askofu Mkuu Mch Stevie Mulenga ametembelea zahanati ya Bulangamilwa inayomilikiwa na FPCT iliyopo Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora. 
 
Askofu Mkuu ametembelea zahanati hiyo kwa lengo la kuona changamoto zilizopo katika zahanati hiyo na namna ya uendeshaji wa zahanati hiyo. 
 
Akiwa hapo Askofu Mkuu amejionea utendaji wa zahanati hiyo na jinsi inavyo hudumia jamii hiyo katika kijiji cha Bulangamilwa.
 
Askofu Mkuu Mch Stevie Mulenga  na Mama Askofu Katikati akiwa na Moja ya Wauguzi wa Zahanati ya Bulangamilwa kutoka Kulia.


 
 Askofu Mkuu Mch Stevie Mulenga  katika Picha baada ya kufanya Ziara  katika  Zahanati ya Bulangamilwa Mkoani Tabora .
 

No comments:

Post a Comment