Mshambuliajia wa Manchester City na England Raheem Sterling, 22, atasitisha mazungumnzo kuhusu mkataba mpya huko Etihad hadi baada ya kombe la dunia. (Daily Mirror)
Mshambuliaji wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard anaendelea na mkataba mpya pauni 300,000 kwa wiki huko Stamford Bridge kwa matumaini ya kuwavutia Real Madrid. (Times - subscription required)
Meneja wa New Castle Rafael Benitez anataka paunia milioni 20 mwezi Januari kuweza kuwanunua wachezaji watatu. (Daily Mirror)
West Ham watakabiliwa na ushindani kutoka Real Madrid kusaini Fyodor Smolov, 27, mshambuliaji wa Krasnodar na Urusi. (Daily Mail)
Real Madrid watajaribu kumsaini kipa wa Bilbao Kepa Arrizabalaga, 23, na mshambuliaji wa Inter Milan Mauro Icardi, 24, mwezi Januari. (Marca)

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 05.12.2017


Mshambuliajia wa Manchester City na England Raheem Sterling, 22, atasitisha mazungumnzo kuhusu mkataba mpya huko Etihad hadi baada ya kombe la dunia. (Daily Mirror)
Mshambuliaji wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard anaendelea na mkataba mpya pauni 300,000 kwa wiki huko Stamford Bridge kwa matumaini ya kuwavutia Real Madrid. (Times - subscription required)
Meneja wa New Castle Rafael Benitez anataka paunia milioni 20 mwezi Januari kuweza kuwanunua wachezaji watatu. (Daily Mirror)
West Ham watakabiliwa na ushindani kutoka Real Madrid kusaini Fyodor Smolov, 27, mshambuliaji wa Krasnodar na Urusi. (Daily Mail)
Real Madrid watajaribu kumsaini kipa wa Bilbao Kepa Arrizabalaga, 23, na mshambuliaji wa Inter Milan Mauro Icardi, 24, mwezi Januari. (Marca)

No comments:

Post a Comment